Featured Posts
.
Hizi ni sim 5 za mkononi anazotumia Wema Sepetu
SHILOLE AFANYA KUFURU SOUTH AFRICA____
HII NDIO OFFICIAL FAN PAGE YA WEMA SEPETU
Click Here http://goo.gl/OCtfg
Akiwa mbioni kuzindua Ofisi ya Kampuni yake iitwayo ENDLESS FAME FILMS
iliyopo Mwananyamala Komakoma...Siku tatu kabla msanii huyo mahiri wa Filamu
Wema Sepetu amefungua Fan Page ambayo ni kwaajili ya Mashabiki wake amabayo itakuwa ikiripoti matukio mbalimbali yatakayokuwa yanapatikana kwenye WEBSITE yake...
MSANII GOLDIE HARVEY AFARIKI DUNIA
Msaanii wa Muziki aliyeshiriki shindano la Big Brother Africa 2012,
Goldie Harvey amefariki dunia jana usiku katika Hospitali ya
Reddington huko Victoria Island, Lagos.
Goldie Harvey amefariki dunia jana usiku katika Hospitali ya
Reddington huko Victoria Island, Lagos.
Subscribe to:
Posts (Atom)